Jamii inabadilika na kila kuchao vitu vilivyochukuliwa kuwa vya kushangaza siku hizi vimesalia kuwa vya

kawaida. Hudda ni mwana dada aliyepata umaarufu nchini Kenya na hata barani Afrika baada yakushiriki kwenye shindano la Big Brother Africa maarufu kama BBA.
Zifuatazo ni picha zake ambacho aliziweka kwenye mtandao wake wa kijamii na kuwacha wengi wakishangaa



Post a Comment