0

Bahati ambaye ni mshindi wa Male Artist of the year kwenye tuzo za Groove Awards 2015, ameamua kufanya kitu ambacho kitawaacha
wengi kumzungumzia. Wimbo wake mpya ambao unaitwa Kuchu Kuchu amewashirikisha wasanii wakali Wyre pamoja na King Kaka.

 Mbali na kuwa mtunzi bora, unyenyekevu na utulivu wake ndiyo chambo ambayo huitumia kunasa mashabiki wengi. Katika ile hali ya kuwatayarisha mashabiki wake, hiki ndicho alichokiandika kwenye ukurasa wake wa Facebook:


#‎DEAR‬................. 
Yes it's been a long Journey Since day One God placed you in my life. Being as a Family; God has created us a Chance that we may grow Together.I may not Reply to all your inboxes. We may not be able to talk on Phone; but Every Morning I wake up to Comments on Facebook.. Likes on Instagram. I feel your unconditional Love & Support. Enyewe kutoka kwa Heart, You're the family that I never had!!! Aiseeee sio tu kwa Kushabikia Mziki wangu, Hapana! It's not Just about you voting me on Awards & Requesting for my Songs. No! But Every Prayer you say to GOD has Made me stand till this day. AND NOW for so long been Praying for God's will on who to Work with on My First official Music Collabo!! For long been Searching my heart in Silence to find the Will of God. For I have always believed God speaks. And because it's a Ministry and all about GOD; He should Always direct Our Paths.... And for that Reason I chose‪#‎WYRE_and_KING‬ KAKA in My next Song ‪#‎KUCHU_KUCHU‬ Premiering on your Favorite Radio & Tv shows Tomorrow!!! 22/07/2015 .... I know Many will ask Questions why the Secular Guys but Let's all remember CHRIST CAME FOR THE SICK!!! And No one is Holy but Him!!! And that's why I believe this is ‪#‎WYRE_and_KING_KAKAS‬ time to Tell GOD their Hearts 🙏🙏🙏 .... So Tomorrow ‪#‎KUCHUKUCHU_VIDEO_ONLINE‬LAUNCH 5PM!!! If you Really waiting to Hear what‪#‎WYRE_and_KINGKAKA‬ told GOD in this Song HIT LIKE✔✔✔


Habari ndio hiyo.

Post a Comment

 
Top